Thursday, December 4, 2014


KAMATI ya Kusimamia Tuzo za Wanamichezo Bora Tanzania zinazotolewa na Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) imetangaza Majina ya Wanamichezo watakaogombea Tuzo hizo kwenye hafla maalum hapo Desemba 12.
Usiku wa Tuzo utafanyika Ukumbi wa Diamond, Jubilee (VIP), Jijini Dar es Salaam.

Majina hayo ya Wagombea ni mapendekezo ya Vyama vya Michezo husika kupitia Kamati zao za Ufundi.

Washindi wa Tuzo kutoka Michezo mbalimbali ndio watakaoingizwa kuwania Tuzo ya Mwanamichezo Bora wa Tanzania wa Mwaka 2013/2014 na Mshindi atatangazwa Siku hiyo hiyo Desemba 12.

Pia itakuwepo Tuzo maalum ya Heshima ya kumtambua Mwanamichezo alietoa mchango maalum.

ORODHA KAMILI YA WAGOMBEA:

OLIMPIKI MAALUM:

Wanaume: Raphael Kalukula, Pazi Mwinyimkuu na Hatibu Matali

Wanawake: Blandina Blasi, Shida Jaha na Mwanaharusi Risasi.

MPIRA WA KIKAPU:

Wanaume: Lusajo Samwel (Oilers), Erick Mchemba (ABC)

wanawake: Sajda Ahmed Lyamaiga(Don Bosco Lioness), Rehema Silomba (Don Bosco Lioness) na Orlyn Titus (Don Bosco Lioness).

MPIRA WA MAGONGO:

Wanaume: Yohana Wilson, Focus Paul, Deep Vaja

Wanawake:  Valentina Quarantta, Kidawa Seremala na Mary Mhina

MPIRA WA WAVU:

Wanawake: Yasinta Remmy (Jeshi Stars), Hellena Richard (Magereza) na Teddy  Abwao (Jeshi Stars).

Wanaume: Kelvin Peter Severino (Magereza), Nassoro Sharifu (Jeshi Stars) na Athuman Rupia (Jeshi Stars).

RIADHA:

Wanawake: Zakia Mrisho, Jaqueline Sakilu na Catherine Lange

Wanaume: Alphonce Felix, Dickson Marwa na Fabian Nelson.

BAISKELI:

Wanawake:  Salome Donald, Martha Anthon na Sophia Adson.

Wanaume: Richard Laizer, Hamisi Mskala na  Gerald Konda,

GOFU:

Wanaume: Nuru Mollel, Abasi Adam na Frank Mwinuka

Wanawake: Madina Iddi, Hawa Wanyeche na Angel Eaton

GOFU YA KULIPWA:

Hassan Kadio, Yassin Salehe na Geoffrey Leverian

JUDO:

Wanaume: KOMBO Masoud Amour, MBAROUK Mbarouk

Sleiman

Wanawake: Grace Alfonce Mhanga, Salma  Omari Othman.

TENISI WALEMAVU:

Wanaume: Novatus Emmanuel Temba, Yohana  Assa Mwila, Juma Mohamed Hamisi

Wanawake:  Rehema Selemani Saidi,Bihawa Mustafa Ituji

TENISI:

Wanaume: Tumaini Martin, Emmanuel Malya na Omari Sulle

Wanawake: Rehema Athumani, Edna John, Georgina Kaindoh

NETIBOLi:

Doritha Mbunda (JKT Mbweni), Berina Kazinja (Magereza Moro), Andressa Andrea (Magereza Moro)

NGUMI ZA RIDHAA:

Fabian Gaudence, Ahmed Furahisha na Ally Abdul Ahmed

SOKA:

Wanawake:

Sophia Mwasikili, Sherida Boniface na Amina Ally

Wanaume:

Elias Maguli (Ruvu Shooting-sasa Simba), Erasto Nyoni (Azam FC) na Nadir Haroub (Yanga).

WACHEZAJI WA NJE WANAOCHEZA TANZANIA:

Kipre Tchetche (Azam), Amis Tambwe (Simba) na Mbuyu Twite (Yanga).

WATANZANIA WANAOCHEZA NJE:

Richard Laizer (baiskeli-Afrika Kusini/Uswisi)  

Mbwana Sammata (TP Mazembe-soka DRC), Thomas Ulimwengu (TP Mazembe-soka DRC).

NGUMI KULIPWA:

Francis Cheka, Ramadhani Shauri na Said Mbelwa.

MPIRA WA MIKONO

Wanaume: Hemedi Salehe (JKT), Msafiri Makoti (Ngome) na Abinery Kusena (JKT)

Wanawake: Veronica Mapunda, Subira Omary na Mwajabu Lugato

WANAMICHEZO CHIPUKIZI

Omari Sulle (Tenisi)

Sheridah Boniface (Soka Wanawake)

Aishi Manula (Soka Wanaume-Azam)

No comments: