YANGA YAMALIZA
KAZI COMORO YASHINDA 5-2

Yanga sasa imesonga Raundi ya Kwanza ya CAF CHAMPIONZ LIGI ambapo watakutana na Mabingwa Watetezi, Al Ahly ya Misri, kati ya Februari 28 na Machi 2 na Marudiano kuchezwa kati ya Machi 7 na 9.
KIKOSI CHA YANGA:
Deogratias Munish "Dida", Mbuyu Twite, Oscar Joshua, Nadir Haroub "Cannavaro", Kelvin Yondani, Athuman Idd "Chuji", Simon Msuva, Haruna Niyonzima, Didier Kavumbagu, Mrisho Ngasa, Hamis Kizza
Akiba: Barthez, Juma Abdul,Luhende, Rajab, Domayo, Dilunga n Bahanuzi
SIMBA MBEA CITY 1-1
Mechi kati ya wenyeji Mbeya City
inmekwisha Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya na matokeo 1-1.
Mbeya City ndiyo walianza kufunga katika
kipindi cha kwanza na kwenda mapumziko wakiwa mbele kwa bao moja.
Lakini Simba walikianza kipindi cha pili kwa kasi na kufanikiwa kupata bao kuputia Amissi Tambwe.
No comments:
Post a Comment