SELESTIN MWESIGWA KATIBU MKUU TFF
TFF,
Shirikisho la Soka Tanzania, leo limetoa Taarifa iliyosainiwa na Rais wake,
Jamal Malinzi, ambayo imetangaza Maofisa wake Waajiriwa pamoja na Viongozi wa
Kamati zake mbalimbali kama ilivyoamuliwa kwenye Kiakao cha Kamati ya Utendaji
ya TFF kilichokaa Tarehe 22-12-2013.
YAFUATAYO
NI MAAMUZI YAO:
1.
1. KATIBU MKUU [GENERAL SECRETARY]
Katibu
Mkuu wa TFF atakuwa ni Bwana Selestin Mwesigwa.
Bwana
Mwesigwa amezaliwa Mwaka 1970. Ana Digrii ya masuala ya kimataifa toka Chuo
Kikuu cha Dar es Salaam na ana Diploma ya Mafunzo ya Sheria.
Pia
amefanya kozi kadhaa za utawala ndani na nje ya Nchi zikiwemo kozi za utawala
wa mpira zilizotolewa na FIFA. Ajira yake ya mwisho alikuwa ni Katibu Mkuu wa
Klabu ya Yanga.
Bwana
Mwesiga anaingia TFF akiwa na uzoefu mkubwa wa masuala ya uongozi
1.
2. MKURUGENZI WA VYAMA WANACHAMA NA MASUALA YA
KISHERIA [DIRECTOR OF MEMBER ASSOCIATIONS AND LEGAL AFFAIRS]
Bwana
Evodius Mtawala
1.
3. MKURUGENZI WA MASHINDANO [COMPETITIONS DIRECTOR]
Bwana
Idd Mshangama atakaimu nafasi baada ya Waombaji kutofuzu na nafasi itatangazwa
tena.
1.
4. Mkurugenzi wa ufundi [Technical Director]
Bwana
Salum Madadi atakaimu baada Waombaji kutokidhi vigezo.
1.
5. MKURUGENZI WA FEDHA NA UTAWALA [DIRECTOR OF FINANCE AND
ADMINISTRATION]
Bwana
Danny Msangi kukaimu baada Waombaji kutokidhi vigezo.
1.
6. AFISA HABARI WA TFF [MEDIA OFFICER]
Ataendelea
kuwa Bwana Boniface Wambura Mgoyo.
AJIRA
ZITAANZA Januari 1.
UTEUZI
WA KAMATI YA UCHAGUZI NA KAMATI YA RUFAA YA UCHAGUZI
-Kamati
za Sheria: Uteuzi utafanywa baadae.
KAMATI
YA UCHAGUZI [ELECTIONS COMMITTEE]
Advocate
Melchesedeck Lutema-Mwenyekiti
Advocate
Walter Chipeta-Makamu Mwenyekiti
Hamidu
Mahmoud Omar-Mjumbe
Jeremiah
John Wambura-Mjumbe
Hassan
Dalali [Mjumbe]
KAMATI
YA RUFAA YA UCHAGUZI [ELECTIONS APPEAL COMMITTEE]
Advocate
Julius Lugaziya-Mwenyekiti
Advocate
Mwita Waisaka-Makamu Mwenyekiti
Juma
Abeid Khamis-Mjumbe
Rashid
Dilunga-Mjumbe
Masoud
Issangu-Mjumbe
BEACH
SOCCER SUB COMMITTEE
KAMATI
NDOGO YA KAMATI YA MASHINDANO INAYOHUSIKA NA MPIRA WA UFUKWENI
Ahmed
Mgoyi-Mwenyekiti
Shafii
Dauda-Makamu Mwenyekiti
Deo
Lucas
Juma
Mgunda
Boniface
Pawasa
Joseph
Kanakamfumu
John
Mwansasu

No comments:
Post a Comment