HALI YA SASA MJINI MTWARA WATU WAMEANZA KUINGIA MITAANI LAKINI MADUKA NA SOKO BADO HAVIJAFUNGULIWA KUSUBIRI UTULIVU ZAIDI
Ligula Hospitali Mnarani |
Barabara ya mnarani, mkoani kuelekea parish. |
Zambia road |
Kuelekea stand kuu |
Mnarani Mtwara |
Wananchi wakiwa katika makundi makundi kituo cha polisi mjini mtwara kwa ajili ya kuwatolea dhamana ndugu zao waliokamatwa katika vurugu za jana na juzi |
Stand kuu Mtwara ilivyo leo |
Maduka sokoni yakiwa yamefungwa |
Soko kuu la chakula likiwa limefungwa huduma inayopatikana ni nyanya tu |
No comments:
Post a Comment