HALI YA SASA MJINI MTWARA WATU WAMEANZA KUINGIA MITAANI LAKINI MADUKA NA SOKO BADO HAVIJAFUNGULIWA KUSUBIRI UTULIVU ZAIDI
| Ligula Hospitali Mnarani |
| Barabara ya mnarani, mkoani kuelekea parish. |
| Zambia road |
| Kuelekea stand kuu |
| Mnarani Mtwara |
| Wananchi wakiwa katika makundi makundi kituo cha polisi mjini mtwara kwa ajili ya kuwatolea dhamana ndugu zao waliokamatwa katika vurugu za jana na juzi |
| Stand kuu Mtwara ilivyo leo |
| Maduka sokoni yakiwa yamefungwa |
| Soko kuu la chakula likiwa limefungwa huduma inayopatikana ni nyanya tu |
No comments:
Post a Comment