Thursday, December 18, 2014

PICHA ZA MATUKIO MECHI YA COSMO NA SUPER EAGLE  FAINALI YA JIMBO CUP MTWARA VIJIJINI
Cosmo
Super Eagle
Mgeni rasmi akikagua timu
Heka heka uwanjani

Mgeni rasmi naibu waziri wa TAMISEMI Kassim Majaliwa akiwa na Mkt wa chama cha soka Mtwara Athuman Kambi wakifuatilia mchezo kwa makini
Nikolus Muya Mratibu wa ligi ya Jimbo cup akifuatilia mtanange

 
Wadau wa pride FM Radio walikuwepo 
Mbwembwe za mashabiki
Wachezaji wa Cosmo wakishangilia ushindi wakiwa na mwali

 

No comments: