AZAM YANYEMELEA UBINGWA

AZAM FC sasa
inahitaji pointi 3 kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom baada ya leo huko
Mabatini, Mlandizi kuichapa Ruvu Shooting Bao 3-0.
Mechi hii
ilikuwa ichezwe Jana lakini ikaahirishwa kutokana na Mvua kubwa.
Wakiwa
wamebakisha Mechi mbili, ile na Mbeya City huko Mbeya na JKT Ruvu Uwanja wa
Azam Complex, Azam FC wanahitaji Pointi 3 tu kutwaa Ubingwa bila ya kujali nini
Timu ya Pili, Yanga, ambao ndio Mabingwa Watetezi, wanakifanya nini.Hivi sasa Azam FC wanaongoza Ligi wakiwa na Pointi 56 na kufuatiwa na Yanga wenye Pointi 52 na ambao wamebakisha Mechi mbili dhidi ya JKT Oljoro, huko Arusha, na Simba.
Bao za Azam FC Leo hii zilifungwa na Gaudence Mwaikimba, Himid Mao na Kipre Tchetche.
Mechi inayofuata kwa Azam FC ni hapo Jumapili watakapokuwa Mbeya kucheza na Mbeya City na Siku hiyo hiyo Yanga watakuwa Arusha kuivaa JKT Oljoro.
RATIBA:
Jumamosi Aprili 12
Mtibwa Sugar vs Ruvu Shooting (Manungu, Morogoro),
Coastal Union vs JKT Ruvu (Mkwakwani, Tanga),
Tanzania Prisons vs Rhino Rangers (Sokoine, Mbeya).
Jumapili Aprili 13
Mgambo Shooting vs Kagera Sugar (Mkwakwani, Tanga),
Simba vs Ashanti United (Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam)
Mbeya City vs Azam (Sokoine, Mbeya)
JKT Oljoro vs Yanga (Sheikh Kaluta Amri Abeid, Arusha).
MSIMAMO:
NA
|
TIMU
|
P
|
W
|
D
|
L
|
GD
|
GF
|
PTS
|
1
|
Azam FC
|
24
|
16
|
8
|
0
|
34
|
48
|
56
|
2
|
Yanga SC
|
24
|
15
|
7
|
2
|
41
|
58
|
52
|
3
|
Mbeya City
|
24
|
12
|
10
|
2
|
13
|
30
|
46
|
4
|
Simba SC
|
24
|
9
|
10
|
5
|
15
|
40
|
37
|
5
|
Kagera Sugar
|
25
|
8
|
11
|
6
|
2
|
22
|
35
|
6
|
Ruvu Shooting
|
24
|
9
|
8
|
7
|
-3
|
27
|
35
|
7
|
Mtibwa Sugar
|
25
|
7
|
10
|
8
|
0
|
28
|
31
|
8
|
Coastal Union
|
24
|
6
|
11
|
7
|
-2
|
16
|
29
|
9
|
JKT Ruvu
|
23
|
8
|
1
|
14
|
-19
|
19
|
25
|
10
|
Mgambo Shooting
|
23
|
6
|
6
|
11
|
-16
|
16
|
24
|
11
|
Ashanti UTD
|
23
|
4
|
7
|
12
|
-20
|
17
|
19
|
12
|
JKT Oljoro
|
24
|
3
|
9
|
12
|
-17
|
17
|
18
|
13
|
Prisons FC
|
22
|
3
|
9
|
10
|
-11
|
17
|
18
|
14
|
Rhino Rangers
|
23
|
3
|
7
|
13
|
-17
|
15
|
16
|
No comments:
Post a Comment