TANZANIA
YASHUKA NAFASI 1 LISTI YA UBORA DUNIANI YA FIFA
LISTI YA
UBORA DUNIANI iliyotolewa Leo na FIFA imebaki vile vile kwa Timu za Juu kwa
Mabingwa wa Dunia, Spain, kuendelea kukamata Nambari Wani na Timu ya Juu kabisa
kwa Afrika ni Ivory Coast, iliyoporomoka Nafasi 1 na kukaa Nafasi ya 24 huku
nayo Tanzania ikishuka Nafasi moja na kushika Nafasi ya 117.
Timu za 1
hadi 5 zimebaki pale pale na Uruguay kupanda Nafasi 1 na kushika Nafasi ya 6,
Uswisi kushuka moja na wako Namba 7, Italy na Brazil kubaki Namba zao za 8 na 9
huku Belgium wakiingia 10 Bora na kushika Nafasi ya 10 kwa kuitoa Netherlands
ambayo sasa iko Nafasi ya 11.
Listi
nyingine ya Ubora Duniani itatolewa hapo Aprili 10.
JIRANI
ZA TANZANIA:
115
Mozambique
116
Lebanon
117
Tanzania
118
New Caledonia
119
Equatorial Guinea
120
Luxembourg
No comments:
Post a Comment