Friday, March 28, 2014

NDANDA FUNIKA BOVU YAPOKELEWA KISHUJAA HAIJAWAHI KUTOKEA MTWARA
Viongozi mbalimbali wakiisubiri timu uwanja wa ndege
Ndege kiwasili
Wachezaji wakishuka kwenye ndege
MKT wa MTWAREFA Athumani Kambi akiwakaribisha wachezaji na viongozi
Wachezaji wakisalimiana na viongozi
Safari ya kuelekea Nagwanda
Funika bovu Nangwanda
PRIDE FM wakifanya vitu vyao
Denis Kitambi kocha wa Ndanda
Wachezaji wa ndanda
MKT wa Ndanda Ahamad Omari
Mwanzilishi wa ndanda JB
Umati wa watu  haujawahi kutokea Mtwara

No comments: