Monday, October 21, 2013

WAOANA BAADA YA KUISHI UCHUMBA MIAKA 80
Jose Manuel Riella na mkewe Martina Lopez siku ya harusi
Wakiwa na wageni waalikwa siku ya aharusi
Picha ya pamoja na watoto, wajukuu, vitukuu na vilembwe
Wachumba wa wawili ambao ni Vikongwe  raia wa Paraguay wameamua kufunga pingu ya maisha kanisani hivi karibuni baada ya kukaa uchumba kwa miaka 80.
Bwana Jose Manuel Riella mwenye umri wa mika 103 na mkewe Martina Lopez miaka 99, walianza uhusiano wao tangu mwaka 1933.
Wapenzi hao wameamua kufunga ndoa kanisani  huku wakiwa na watoto nane, wajukuu 50, vitukuu 35,na vilembwe 20 ambao baadhi yao walihudhulia ndoa hiyo.

No comments: