ARSENAL YAIBANJUA BUYERN 2-0 NYUMBANI LAKINI YASHINDWA KUINGIA ROBO FAINALI LIGI YA MABINGWA
![]() | |
Olivier Giroud akifunga bao la mapema lililowatia presha wenyeji |
![]() |
Laurent Koscielny akifunga bao la pili kwa kichwa dakika za mwishoni |
![]() |
Wenger akilalamikia uamuzi wa refa |
KLABU ya Arsenal imetolewa kiume katika
Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wan kuamkia leo baada ya kushinda 2-0 ugenini dhidi ya
Bayern Munich nchini Ujerumani.
Matokeo hayo yanamaanisha matokeo ya jumla ni 3-3 baada ya awali, Bayern kushinda 3-1 Jijini London.
Bayern imesonga mbele kwa faida ya mabao ya ugenini na sasa imejikita Robo Fainali.
Olivier Giroud aliifungia Arsenal bao la kwanza dakika ya tatu ambalo lilidumu hadi mapumziko.
Laurent Koscielny akaja kuwafungia la
pili The Gunners dakika ya 86, lakini Bayern wakabebwa na mabao yao ya
ugenini kusonga mbele.katika mchezo mwingine timu ya Malaga imewabamiza Porto mabao 2-0 na kufanikiwa kutinga hatua ya robo fainali.
No comments:
Post a Comment