Thursday, January 10, 2013

CHELSEA YATANDIKWA 2-0 NA SWANSEA CAPITAL ONE

Makosa mawili yaliyofanywa na ngome ya Chelsea yameisaidia  Swansea ambayo imepata  ushindi wa mabao mawili Dhidi ya  Chelsea  na kuingiza mguu mmoja katika hatua ya nusu fainali ya pili itakayo wiki ijayo na itakuwa na faida ya goli mbili mkononi .

 Chelsea ilitawala nusu ya kwanza lakini kosa lililofanywa na  Branislav Ivanovic lilimpa nafasi   Michu kuifungia timu yake bao la uongozi .
 Gerhard Tremmel alikosa goli baada ya  kukokolewa  vibaya kwa mpira na   David Luiz's na baadae  Demba Ba aliunganisha klosi lakiini mpira ulikwenda mbali na lango .

  Danny Graham alifunga bao la pili mara baada ya  Ivanovic kurudisha mpira vibaya na kufunga bao la ushindi
.

No comments: