AFRIKA KUSINI IMEILAZA ANGOLA 2-0
![]() |
Wachezaji wa Afrika ya kusini wakishangilia bao |
Mechi ya pili ya kundi A ya michuano ya kuwania kombe la mataifa ya Afrika inaendelea nchini Afrika Kusini, kati ya Bafana Bafana na imekamilika huku Afrika Kusini ikililaza Angola kwa magoli 2-0
Mechi inayofuata ni Morocco dhidi ya Cape Verde
No comments:
Post a Comment