IJUE NDOA ILIYODUMU KWA SIKU 13 TU.
![]() |
Bonface Oduor na Sarah Kayuga siku ya harusi yao |
Bonface Oduor ambaye ndiye bwana harusi amesema ‘Alinisaliti baada ya siku 13 ya harusi yetu ilofanyika wikendi ya pasaka’.
Wasiwasi na Uwoga mkubwa wa Bonface Oduor ilitimia hivi maajuzi tu baada ya kumfumania mkewe akishiriki tendo la ndoa na mwanaume mwingine ikiwa ni siku 13 tu baada ya harusi yao.
Jamaa ambaye alimfumania mkewe aitwae Sarah Kayuga kwenye hotel moja ya hotel za Nairobi akiwa na mwanamume mwingine.
Harusi yao ya kufana ilifungwa kwenye kanisa la Pentecostal Assemblies of God Diani Mombasa Aprili 13 ambapo Oduor amedai ilikua ni ya kupoteza muda na pesa na akaapa kutoishi tena na mwanamke na kujihusisha na mahusiano ya kimapenzi tena kwani hana imani tena na wanawake.
Hata hivyo Wawili hao waliamua kuachana baada ya oduor kugundua kua sarah alikua ametupa picha zake kwenye mtandao wa wozzup akiwa uchi.
No comments:
Post a Comment