KARIAKOO YA LINDI YAITOA COAST UTD YA MTWARA LIGI YA MABINGWA WA MIKOA KATIKA UWANJA WA NANGWANDA SIJAONA MJINI MTWARA JUMAPILI KWA MIKWAJU YA PENALTI BAADA YA KUMALIZA MICHEZO YOTE MIWILI KWA KUFUNGANA BAO MOJA KWA MOJA.
Angalia mambo yalivyokuwa, coast wenye blue na kariakoo wenye Orange
 |
Mpambano ukiendelea kwa mashambulizi ya kufa mtu |
 |
Mikwaju ya penalti |
 |
Mashabiki wakifuatilia mpambano |
 |
Steven Ndimbo naye alikuwepo |
 |
Shamrashamra kwa mashabiki wa kariakoo ya lindi baada ya mechi kwisha. |
 |
Usalama wakiwalinda waamuzi
|
No comments:
Post a Comment