Wednesday, March 6, 2013


RONALDO AIUA TIMU YAKE YA ZAMANI, APIGILIA BAO LA USHINDI REAL MADRID NA KUELEKEA FAINALI LIGI YA MABINGWA.


Mambo yalivyokuwa kabla ya mechi.

Bao la kujifunga la Sergio Ramosi
 Luis Nani azawadiwa kadi Nyekundu

 

Luka Modric akipata bao la kusawazisha

Ronald akishindilia bao la pili

Ronaldo baada ya kupata bao.


Cristiano Ronaldo ameifungia bao la ushindi Real Madrid lililoitoa timu yake ya zamani ya Manchester UTD katika Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Old Trafford jijini London.
Wenyeji ndio waliokuwa wa kwanza kupata bao mapema kipindi cha pili, baada ya Sergio Ramos kujifunga.

Lakini mambo yaliwageukia Man United, baada ya Luis Nani kuonyeshwa kadi nyekundu ya moja kwa moja kwa kumchezea rafu Alvaro Arbeloa.

Na baada ya hapo, bao la Luka Modric lilifuatiwa na bao la Ronaldo dakika tatu baadaye, hivyo vigogo hao wa Hispania kutinga Robo Fainali ya michuano hiyo.

No comments: