HIVI UBAGUZI WA RANGI MICHEZONI UTAISHA LINI?
![]() |

Mashabiki fulani wa Inter waliinua ndizi kumuonyesha mshambuliaji huyo wa AC Milan katika mechi hiyo. Licha ya kejeli hizo za kibaguzi, Balotelli alikuwa mtulivu na kuendelea kucheza na kuwajibu kwa kuweka kidole mdomoni mwake.
No comments:
Post a Comment