Tuesday, December 25, 2012

UBATIZO WA KEREN LEO SIKUKU YA X-MASS, ATIMIZA MIEZI SABA
Mtoto Keren akiwa na mama yake Kanisani

Wakisubiri ubatizo

Amebebwa na Msimamizi wake Mrs Mbungu akijiandaa kumwagiwa maji ya ubatizo

Mtoto kereni akibatizwa

Akipakwa mafuta na Padre Chikuyu wa Parokia ya watakatifu Petro na Paulo shangani magharibi  Mtwara

Baba paroko Chikuyu  akiwa kazini

Akiwa na mama pamoja na msimamizi

Mikononi mwa baba mzazi

Waumini wakiwa katika sala


Baba Keren

No comments: